Nauza Kiwanja Mabwe Pande karibu na Mto Mpiji kina ukubwa wa Mita 25 kwa 20

Nauza Kiwanja Mabwe Pande karibu na Mto Mpiji kina ukubwa wa Mita 25 kwa 20

Merci

Member
Joined
Feb 6, 2012
Posts
92
Reaction score
138
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa mita 25 kwa 20 kilichopo Mabwe Pande karibu na mto Mpiji kwa Tsh 5M. Umeme upo tayari kiwanjani na pia Kiwanja hiki hakijapimwa. Nipigie 0736770052
 
Milioni 5 si unapata chenye hati kabisa kigamboni na chenji inabaki
Bagamoyo unakopeshwa unalipa advance laki 6, halafu inayobaki miezi sita pamoja na hati.
Minimum 1,200,000/-(20x20), Hii kwa Mkurunge, Kidomole kwa 1,200,000/-(20X20) kwa mkupuo unapata 20x20.
Vikawe unalipia kidogokidogo kwa miaka 3.
 
Bagamoyo unakopeshwa unalipa advance laki 6, halafu inayobaki miezi sita pamoja na hati.
Minimum 1,200,000/-(20x20), Hii kwa Mkurunge, Kidomole kwa 1,200,000/-(20X20) kwa mkupuo unapata 20x20.
Vikawe unalipia kidogokidogo kwa miaka 3.
Kwa sasa serikali inataka viwanja viwe ni vya ukubwa wa kuanzia 25*25 na kuendelea chini ya hapo unahatarisha hati kuja kufutwa
 
Back
Top Bottom