Qulfayaqul
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 480
- 84
Jamani wana jf nimetingwa nauza kiwanja na matofali kama 580, kiwanja kina ukubwa wa 25mx20m na ninauza kwa 2,800,000/=, location: kiwanja kipo kivule kitunda ukifika Banana unashuka then unapanda magali ya kivule yanapita kitunda mpaka huko, kipo karibu na shule mbili za sekondari. Matofali nauza kwa Tshs 650 kila tofali.
Mawasilano simu namba 0713-357542 begin_of_the_skype_highlighting**************0713-357542******end_of_the_skype_highlighting
Vp Kiwanja peke yake unaweza ukauza?
Hakijapimwa kaka ila nina haki zote za kukimiliki kutoka serikali za mitaa na kipo kama mita 500 kutoka barabarani yaani katika kituo cha daladala.Hellow,
barabara inaingia mpaka kwenye kiwanja?,
kimepimwa?