huko c ndio anakotaka kujenga bush?
huko c ndio anakotaka kujenga bush?
Angalizo la suala la Mjimpya. Si busara kununua kiwanja wala Nyumba kwenye maeneo hayo.
huko c ndio anakotaka kujenga bush?
Asante kwa post yako mkuu, lakini ni kutokuelewa tu, so what will happen kwa wenye nyumba na maeneo yao wanayoyamiliki kihalali. Unadhani maisha ya kawaida hayaendelei kule, hapa ni kiw ana maana watu hawauzi wala kununua? By the way, hata kama kuna issue hiyo kuna suala la compansation ambalo personally siwezi kusubiri hiyo coz nina plans zingine nafanya.....jaribu kufikiri nje ya box kidogo, utapata picha.
Haa haa haaa, wee ulieleewa mbona umeshindwa kujenga hoja za kujibu concern zao wachangiaji hapo juu. yaani mtu anunue then asubiri kuwa compensated na amount ambayo haijui-kaweke tangazo lako kwa wacheza gambling huko ndo wanaoweza kulicheza siyo hapa kwa great thinkers!
bei.....?
ukubwa wa kiwanja.....?
picha za kiwanja.....?
vielelezo gani vya umiliki unavyo ie tittle or else......?
give us more details na sio watu tu ku pm
Man! usiwasemee watu my friend, jenga hoja ujibiwe. Hivi iwapo nataka kuhama may be nje ya nchi na sina mpango wa kurudi hivi karibu, nikae nisubiri serikali yako ya JK ipate pesa za mikopo ili wanipe compasantion? ikiwa nimepungukiwa kiasi cha fedha ili kukamilisha mipango yangu fulani, nisubiri compansation mpaka ifike? hebu fikiri upya.....Zidane then urudi hapa.
Join Date: 9th April 2011Fikirisha ubongo wako mkuu!
Asante kwa post yako mkuu, lakini ni kutokuelewa tu, so what will happen kwa wenye nyumba na maeneo yao wanayoyamiliki kihalali. Unadhani maisha ya kawaida hayaendelei kule, hapa ni kiw ana maana watu hawauzi wala kununua? By the way, hata kama kuna issue hiyo kuna suala la compansation ambalo personally siwezi kusubiri hiyo coz nina plans zingine nafanya.....jaribu kufikiri nje ya box kidogo, utapata picha.