moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 904
- 937
Nitakuwa shahidi mkuu, mkifikia muafaka nipate ya vocha kidogoPicha mkuu itapendeza
Picha hajawekaNitakuwa shahidi mkuu, mkifikia muafaka nipate ya vocha kidogo
Tuvute subira boss, atakuwa kaenda field kupiga picha.Picha hajaweka
Ahsante kwa kunikumbusha. Naomba nilifanye zoezi la picha kesho InshaAllah. Sikuwa nimeziandaaPicha mkuu itapendeza
SitakiChukua 3M mkuu
Mbona wewe hujaweka yako?Picha hajaweka
Ni Pesa kubwa sana hiyo ndugu yangu lakini haina maslahi.Chukua 3M mkuu
Hicho cha Mbweni bado kipo? Ni Mbweni ipi? Kina ukubwa gani? Kina document gani?VIWANJA GOBA KWA AWADHI.
-Ni sehemu nzuri na ya kuvutia sana.
-Ni karibu na shule ya Castle Hill na karibu pia na sheli ya Mchigani.
-Umbali ni 600m kutoka barabara ya lami.
-Viwanja vimepimwa.
-Neighborhood yake inavutia kwa kweli.
-Huduma zote za kijamii zinapatikana.
-Bei yake ni 50,000 kwa square meter moja.
-Ni mahali pakununua na kujenga sasa.
PIA TUNA VIWANJA
🎄 Vikindu 1.3 M
🌲Kibaha pangani 2.4M
🌳Kibaha karibu na stend ya Loliondo 4.8.m
🌿Mbweni 12M
🍀Kigamboni gezaulole 6.8 M
🌳Kigamboni Kisarawe II 8M
NJIA ZA MALIPO
Unaweza lipa cash ama ukaanza na asilimia 50 na inayobaki utamalizia kidogo kidogo ndani ya miezi 3_6
#SITE VISIT ni KILA SIKU.
Contact:
📞 0762815104
WhatsApp 📞 wa.me/255762815104
KARIBUNI SANA 🙏
Ndio bado kipo. Ni Mbweni Gezaulole mbele ya kambi ya jeshi. Vipo vinne. Documents zipo sisi ni kampuni na hati tu nakutafutia wenyewe. 0762815104Hicho cha Mbweni bado kipo? Ni Mbweni ipi? Kina ukubwa gani? Kina document gani?
Mkuu, naomba unielekeze kama nilivyouliza hapo juuNdio bado kipo. Ni Mbweni Gezaulole mbele ya kambi ya jeshi. Vipo vinne. Documents zipo sisi ni kampuni na hati tu nakutafutia wenyewe. 0762815104
Mkuu, naomba unielekeze kama nilivyouliza hapo juu