Plot4Sale Nauza kiwanja

JIHADILIBAGO

New Member
Joined
Dec 17, 2024
Posts
4
Reaction score
2
Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza

Bei 3.2Milioni

Maongezi kidogo yapo

Cantact 0687536389
 
S
Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza

Bei 3.2Milioni

Maongezi kidogo yapo

Cantact 0687536389
Shule gani Mkamba au ile shule isiyotumika? Mapinduzi hiyo... weka picha tuone
 
Kingekua na hati ya wizarani ingekua chap tuu ningeku unganisha na mteja
 
Kiwanja kipo kigamboni mwasonga tulivu kina ukubwa wa sqm 480 kipo mpaka mmoja na shule majira wawili watatu wapo kiwanja ni changu mwenyewe hakina dalali nina shida na ndio maana nauza

Bei 3.2Milioni

Maongezi kidogo yapo

Cantact 0687536389
Kina nyaraka gani mkuu?
 
Kina mkataba wa mauziano mkuu kuja na mwanasheria tufanye biashara
Sio mimi nnayetaka ila anayehitaji hataki mambo mengi anataka Hati ya wizara mezani yeye akafanye transfer tuu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…