INAUZWA Nauza korodani za mbuzi

INAUZWA Nauza korodani za mbuzi

ZINDAGI

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2015
Posts
1,118
Reaction score
1,430
Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.

Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
 
Peleka mnadani zikaliwe na beeer!
Happy weekend!..
 
Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.

Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa

Mimi nilidhani unauza zako Mkuu kwani nilitaka nizifuate haraka ili zinisaidie kuvutia Wateja wangu katika ' Kajiduka ' Kangu.
 
Mimi nilidhani unauza zako Mkuu kwani nilitaka nizifuate haraka ili zinisaidie kuvutia Wateja wangu katika ' Kajiduka ' Kangu.
Mkuu kwa usawa huu, zinaweza zikakukimbizia wateja wako wachache waliobakia
 
Leo nimechinja mbuzi kama 20, na nauza korodani zake, anaetaka tuwasiliane.

Angalizo: Kw wanaume, hakikisha mwenzio yupo karibu baada ya kula hizi kokwa
Zifanyie utafiti zinaweza kusaidia kupandikizwa kwa wasiokuwa na uwezo wa kuzaa.. Wengine wana 1 tu na wanapata shida kupata watoto.. Kama prince mfalme..
 
hahahahahaaa....hyo kichwa ya uzi wako daaahhh......
 
Back
Top Bottom