Nauza kwa jumla na ningependa mtu achukue zote, nzima nauza 13000 kwa kilo vibande tutaelewana. Bei zangu negotiable.
Ni korosho ambazo zimebanguliwa lakini hazijakaangwa
Hapana, kila mtu na kazi yake na mgawanyo wake wa riziki, mimi kazi yangu ni kubangua na wengine kazi yao ni kurost kuweka kwenye ladha mbali mbalj n.k