Nauza korosho safi

Sasa mm Niko masasi mtwara na ubungo plaza wapi na wapi kaka.
Business ni global matter ndio maana mtu Yuko vijijini anafanya biashara na dunia nzima, nimekupa mbinu za kutafuta masoko zaidi huko duniani kama ni muelewa utajiongeza mkuu
 
Nimekuelewa bosi thanks your idea.
Business ni global matter ndio maana mtu Yuko vijijini anafanya biashara na dunia nzima, nimekupa mbinu za kutafuta masoko zaidi huko duniani kama ni muelewa utajiongeza mkuu
 
Sasa mm Niko masasi mtwara na ubungo plaza wapi na wapi kaka.
Haya ndiyo mambo yanayoturudisha nyuma kama taifa.mtu nakupa fursa ya namna ya kuingia sokoni wewe unaleta majibu ya hovyo hovyo namna hii.ungeweza kufuatilia ujue kama unaweza kufanya kitu.halafu kama soko lipo si unawatafuta wenzako wanakupa mzigo wewe unapeleka sokoni .Unaweza ukasahangaa bei ya kilo moja yako ikafika sh.25,000 kama ukipata soko la nje ukauza kwa dola
 
Dubai , China korosho NI Hadi TSH. 45000 hadi 50000 kwa kilo Ile grade one kama atameet vigezo na hata hizo platform nimemuelekeza kwakua Leo niliamka vizuri
 
Sio raisi ivyo kama unavyofikiria mwamba inaitaji uwekezaji mm namtafuta mteja atayeitaji za kuoka maswala ya pakeji ayo namwachia yeye na yeye apate hela biashara kuachiana gap.
 
Kwa mfano umeandika tangazo lako vibaya hapa Tu ulitakiwa upige picha korosho hizo grade nzuri na hizo grade ya kawaida uweke na bei zake kulingana na grade , halafu ungeeleza kua mtu alitaka mzigo hata tank 100 au tani 10 , au tani moja anapata , ulitakiwa ueleze mzigo unasafirisha wewe au mteja, haya ulitakiwa ueleze issue ya vibali ikoje kwenye korosho yako ndani ya nchi , yaani tangazo lako limshawishi mteja asiwe na maswali mengi juu ya biashara yako
 
Sio raisi ivyo kama unavyofikiria mwamba inaitaji uwekezaji mm namtafuta mteja atayeitaji za kuoka maswala ya pakeji ayo namwachia yeye na yeye apate hela biashara kuachiana gap.
Sawa ni iko kimasasi masasi.Waslimie hapo nanyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…