Nauza Kuku na Mayai kwa bei nafuu

Joined
Jul 15, 2015
Posts
20
Reaction score
0
kwa uhitaji wa mayai ya kuku wa kienyeji tsh10000 tray na ya kware tsh 12000 tray pia kwa uhitaji wa vifaranga chotara kutoka malawi na vifaranga vya kware na mambo mengine mengi kuhusu ufugaji na kilimo kwa ujumla piga 0672089903/0752054262 kwa maelezo zaidi popote ulipo unafikishiwa huduma hii karibuni wote.
 

Pelekeni jukwaa la uchumi na biashara sio huku kwa wapendanao
 

Unapatikana wapi? na mayai ya kutotolesha unauza bei gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…