Nauza kuku wa nyama waliochinjwa

Rauya

New Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
2
Reaction score
0
Nauza kuku wa nyama waliochinjwa na kuhifadhiwa vizuri kabisa kwenye deep freezer. Kuku hao wana uzito wa kati ya 1.2-1.3 kg. Bei kwa kila kuku ni Tshs 4,800.00. Napatikana Jet Rumo simu na.0715-266451. Karibuni sana.
 
Je kuku wako wanapatikana wakati wote, je nikihitaji ninunue waliochinjwa siku hiyohiyo nitapata???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…