R Rauya New Member Joined Jun 25, 2009 Posts 2 Reaction score 0 Jun 26, 2009 #1 Nauza kuku wa nyama waliochinjwa na kuhifadhiwa vizuri kabisa kwenye deep freezer. Kuku hao wana uzito wa kati ya 1.2-1.3 kg. Bei kwa kila kuku ni Tshs 4,800.00. Napatikana Jet Rumo simu na.0715-266451. Karibuni sana.
Nauza kuku wa nyama waliochinjwa na kuhifadhiwa vizuri kabisa kwenye deep freezer. Kuku hao wana uzito wa kati ya 1.2-1.3 kg. Bei kwa kila kuku ni Tshs 4,800.00. Napatikana Jet Rumo simu na.0715-266451. Karibuni sana.
N newazz JF-Expert Member Joined Mar 28, 2009 Posts 904 Reaction score 907 Sep 4, 2009 #2 Je kuku wako wanapatikana wakati wote, je nikihitaji ninunue waliochinjwa siku hiyohiyo nitapata???