INAUZWA Nauza laini ya M-PESA Tsh180000, mwenye uhitaji ani PM

Upo tayari twende vodashop kubadili usajili, maana wengi wamefanyiwa uhuni, muuzaji anauza halafu anaenda ku-swap kwa madai kuwa amepoteza. Anajirudishia laini aliyouza na pesa zilizomo+kamisheni.
Wanunuaji wa mtaani kuweni makini sana.
 
Upo tayari twende vodashop kubadili usajili, maana wengi wamefanyiwa uhuni, muuzaji anauza halafu anaenda ku-swap kwa madai kuwa amepoteza. Anajirudishia laini aliyouza na pesa zilizomo+kamisheni.
Wanunuaji wa mtaani kuweni makini sana.
Yah niko tayari,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…