Computer4Sale Nauza laptop laki na 80 tu

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
Wakuu habarini.

Nina shida kidogo ya kifedha hivyo nina laptop yangu haiko vizuri kimuonekano, lakini inapiga kazi mwanzo mwisho.

Ndio ninayoitumia hata katika kazi zangu za muziki..naiuza kwa tsh 180000 tu.

Ni dell e6400 ram gb4 haddisk ina gb150.

Ukitaka nakubadilishia nakuwekea 500gb kama utaongeza hela.

nipigie 0627474141 au 0773474141.

Nipo Dar
 
Picha mkuuu
Picha mkuuu
Picha mkuu
 
Hapo ngumu kufanya biashara.ni vyema kujipanga hata kwa mambo madogo kama haya kabla ya kuchukua hatua, mfano ulitakiwa uwe na picha stori zisiww nyingi
 
Umenifurahisha tu kwa jinsi unavyokuwa mkweli, ujue mimi napenda ukweli daima na nakuhakikishia utaiuza kwa hela hiyo hiyo uliyopanga kuuza inshaallaah
 
Hii hapa
 

Attachments

  • IMG_20240723_164036.jpg
    219.6 KB · Views: 6
Pichaa hiz
 

Attachments

  • IMG_20240723_164739.jpg
    227 KB · Views: 7
  • IMG_20240723_164739.jpg
    227 KB · Views: 8
+4
 

Attachments

  • IMG_20240723_164620.jpg
    253.8 KB · Views: 4
Dell
 

Attachments

  • IMG_20240723_164246.jpg
    242.6 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…