Computer4Sale Nauza laptop packard

NAUZA Smartphone LG V10.
Sifa za Simu
Used in Good Working conditions.
RAM 4GB
Storage 64GB
Processor Qualcom MSm8992 Snapdragon 808
FingerPrint
Fast Charging
IPS LCD display protected by Corning Gorilla Glass 4
Ni simu ya kibabe mno,camera kaliii with slow motion sensor
Bei ya kutupa inataka
laki mbili cash. Tsh.200,000.
Mawasiliano 0621973591
Dar Es Salaam-Mabibo External.



Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Pia hii LG smartphone imeshauzwaa Wadau
 
Standalone server Cabinet with built in Cooling System Inauzwa.
Nauza Standalone wheeleed Server Cabinet with built in Cooling System.
Bei inahitaji shilingi laki nne tu (400k)
Inaweza kutumika pia kama movable cabinet ya Music System
Offer ya Sisco Firewalls and Switch plus asdl wireless router of 4ports itajumuishwa katika Cabinet.
Kwa watu wa IT wanaotaka kufungua class za hands on practical za Sisco Switches,Firewalls and Router Configuration in really world scenarios ( achana na softwares simulation) Njoo uokote hii kitu halafu unishukuru baadae..
Mawasiliano:0621973591
Dar Es Salaam Mabibo External

Picha zaidi za server cabinet with Sisco Firewalls and Switch
View attachment 2009977View attachment 2009978View attachment 2009979View attachment 2009980
 
Hii kampuni ilishaacha kutengeneza simu so ikiharibika spare zinatoka wapi.
 
Chief after market parts zimejaaa kila kona,hivyo shaka ondoa kuhusu spare parts...lakini pia LG wanaendelea kutoa after sales services mpaka 2025.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ok mkuu. Sikulijua Hilo. Biashara njema.
I recommend Kama Kuna mtu ameipenda bidhaa hii achukue. Ni user friendly na ni one amongst durable smartphones.
 
Wakuu asanteni,LG smartphone imeshauzwa...Bidhaa iliyopo sokoni ni Laptop Packard Bell ....ipo kwenye bei ya punguzo
inahitaji 350,000/=
Windows 11 Pro 64 bit
Mob:0621973591
Mabibo Extenal Dar

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Mambo vipi.
Kuna demu mmoja siku hizi anapenda sana (mno) ku-like comments zako.

Ni demu wako? Kwahiyo yule mwenye matako makubwa ni kweli mliachana?
Sema haki ya Mungu tena...

Embu mtaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…