Wadau nauza layers wangu wanataga kwa miezi 4 sasa..wapo 850 nauza 8000 kwa kila 1...niko morogoro lakini naweza kuwaleta popote.Nabadili biashara kwa kufuga zaidi machotara kwa ajili ya kutotolesha vifaranga na wa kienyeji.No yangu ni 0659300000 au ni PM.Thanks