INAUZWA Nauza Machine ya kunyonyoa manyoa ya kuku

Susan85

Member
Joined
May 23, 2017
Posts
86
Reaction score
19
Nauza machine yangu ya kunyonyolea manyoa ya kuku wa sina zote.inanyonyoa kuku 4 kwa sekunde chache na haitumi umeme mkubwa.iko very effective kwa wajasiri ya Mali katika ufugaji kuku inawafaa sasa!bei 600,000 maelewano yapo!karibuni sana!picha zipo ingawa hapa kila nikijaribu Ku upload zinakataa!whatssap 0786 057 996 kwa picha or call 0756661761


 
Maskini watoto wa kike wanaozaliwa miaka hii!
Yaani hataweza hata kunyonyoa kuku,
Nazi, kisamvu, kusigina karanga na mengineyo ni blenda,
Kukata kitunguu, nyanya, karoti, hoho na vinginevyo ni vifaa maalum,
Kukoboa mahindi ya makande badala ya kutwanga wanakoboa mashineni
Mtoto havai nepi akabadilishwa baada ya mfupi, anashinda amevaa pampasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…