Nauza mafuta ya alizeti

Nauza mafuta ya alizeti

Uhuru24

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
4,112
Reaction score
4,361
Baada ya maadiliko ya hali ya hewa sisi wakulima kukosa kabisa mazao ya kutosha,hivyo haya machache niliyopata nimeona bora nikamue mafuta niuze.

Hivyo nauza kuanzia lita tano kwa 30,000 tu, mafuta yangu safi na bora kwa matumizi ya binadamu.

Hayana kabisa harufu kama yalivyozoeleka, nipo kariakoo karibu kabisa na stand ya mwendo kasi GEREZANI 0715378899

IMG_20220816_134220_817.jpg
 
Popote ulipo nakuletea kwa gharama zangu kwa Dar tu, na ukiona yana harufu wala usichukue
IMG_20220813_171947_892.jpg
 
Njooo tusaidieni kurudisha gharama za shamba

20220813_092014.jpg
 
Mafuta yapo jaman ya alizeti
IMG_20220817_121350_694.jpg
 
Back
Top Bottom