Nauza mahindi mabichi, maalum kwa ajili ya kuchoma

Nauza mahindi mabichi, maalum kwa ajili ya kuchoma

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
537
Ndugu wana jamii kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nauza mahindi mabichi mahususi kwa ajili ya kuchoma.. Ninayo heka tatu ni yale makubwa mbegu DK 8031, Napatikana Moshi, nahitaji dalali au mtu anayeweza kuchukua yote kwa jumla, AU at least kuanzia heka moja..Huku wananunua matatu sh 1000... Kama una uhitaji huo karibu P.M tuyajenge, Dalali au mfanya biashara yoyote anayeweza kununua sehemu yoyote hata mikoani aje tufanye biasharara.. KARIBUNI SANA..
mabichi.PNG
 
Wakati mwingine utafute mbegu ya PANAR 4M19 ni nzuri sana kwa kuchoma na matamu.
 
Back
Top Bottom