BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
SOLD
ZIMEKWISHA
ZIMEKWISHA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mrangi mzee msg ndo naona sasa Hivi dah nakutafuta mzeeMku alafu kuna Trekta Inauzwa Mln 14 Imetoka denmark ni John deer70 bei Mln 14 namba yangu unayo najua,tafuta mteja
Ova
Poa poa n'a kule kigamboni tunaendeleaa mkuu phase nyingine ileMrangi mzee msg ndo naona sasa Hivi dah nakutafuta mzee
Weka namba bac tufanye kaziMku alafu kuna Trekta Inauzwa Mln 14 Imetoka denmark ni John deer70 bei Mln 14 namba yangu unayo najua,tafuta mteja
Ova
Weka namba bac namba tufanya kazi, hMku alafu kuna Trekta Inauzwa Mln 14 Imetoka denmark ni John deer70 bei Mln 14 namba yangu unayo najua,tafuta mteja
Ova
Na picha yakeMku alafu kuna Trekta Inauzwa Mln 14 Imetoka denmark ni John deer70 bei Mln 14 namba yangu unayo najua,tafuta mteja
Ova
Mbona mafumbo jukwaani?Poa poa n'a kule kigamboni tunaendeleaa mkuu phase nyingine ile
Ova
Hata china kinauzwa laki 2Kariakoo zinauzwa 500,000/=
Trekta ukimaanisha trekta tulijualo ama ni zana tu ya kupandia huo mpunga tu? Linalima? Na shughuli zingine za kitrekta je?Mku alafu kuna Trekta Inauzwa Mln 14 Imetoka denmark ni John deer70 bei Mln 14 namba yangu unayo najua,tafuta mteja
Ova
Cm 20Inapanda mpunga kwa space gani na kwa speed gani?
Posta jengo la samoraTupe anuani ya kariakoo pl
Kwa speed inategemea na kasi ya anayeiongozaInapanda mpunga kwa space gani na kwa speed gani?
chief karibu sana save namba zangu plzhaha mkuu umeshaua biashara ya mdau.. nakuja P.M unipe details kamili nikachukue moja hapo kariakoo weekend hii..
Chief nina power tillerTrekta ukimaanisha trekta tulijualo ama ni zana tu ya kupandia huo mpunga tu? Linalima? Na shughuli zingine za kitrekta je?