chazi piere
Senior Member
- Jun 12, 2016
- 132
- 72
Nauza mashamba na viwanja kwala
Kwala ipo kijiji cha kwala wilaya ya Kibaha Mkoa wa pwani.Kuna bandari ya inchi kavu,karakana ya mradi wa SGR na kongani ya viwanda 200.Kwala ipo km 15 kutoka morogoro road unaingilia round about ya mizani ya vigwaza.Viwanja/mashamba
vipo vilivyopimwa na ambavyo havijapimwa ila upimaji unaendelea ni maelewano tu. Maeneo yapo yalio karibu kabisa na bandari yani kama km2.5 kutoka ilipo bandari na reli ya SGR.Mengine yapo kijijini kabisa kwala kama km 3 kutoka bandarini.
Pia mengine yapo opposite na karakana ya mradi wa SGR na kongani ya viwanda vya wachina (SINO TAN)
Pia kuna mradi mkubwa wa serikali unaitwa Kwala settelite city ukiingia mtandaoni utauona.
Bei ni maelewano,
Maeneo ni yangu mwenyewe mi sio dalali.
Contact 0678804442
Kwala ipo kijiji cha kwala wilaya ya Kibaha Mkoa wa pwani.Kuna bandari ya inchi kavu,karakana ya mradi wa SGR na kongani ya viwanda 200.Kwala ipo km 15 kutoka morogoro road unaingilia round about ya mizani ya vigwaza.Viwanja/mashamba
vipo vilivyopimwa na ambavyo havijapimwa ila upimaji unaendelea ni maelewano tu. Maeneo yapo yalio karibu kabisa na bandari yani kama km2.5 kutoka ilipo bandari na reli ya SGR.Mengine yapo kijijini kabisa kwala kama km 3 kutoka bandarini.
Pia mengine yapo opposite na karakana ya mradi wa SGR na kongani ya viwanda vya wachina (SINO TAN)
Pia kuna mradi mkubwa wa serikali unaitwa Kwala settelite city ukiingia mtandaoni utauona.
Bei ni maelewano,
Maeneo ni yangu mwenyewe mi sio dalali.
Contact 0678804442
Attachments
-
Screenshot_20241103_103109_Opera Mini.jpg478.7 KB · Views: 6 -
Screenshot_20241103_103140_Opera Mini.jpg256.2 KB · Views: 5 -
Screenshot_20241103_104724_Opera Mini.jpg155.7 KB · Views: 7 -
Screenshot_20241103_104751_Opera Mini.jpg160.9 KB · Views: 7 -
Screenshot_20241103_105101_Opera Mini.jpg241.4 KB · Views: 5 -
Screenshot_20241103_104908_Opera Mini.jpg154.2 KB · Views: 7