Mashamba yanapatikana kata ya mafizi, kijiji cha ving'andi na zipo zaidi ya hekari 300 zilizopimwa, Mashamba haya mazuri kwa kilimo na bei yake kwa kila hekari ni laki nne, 400,000/=
Maji yanapatikana masaa 24 katika mto ruvu na mashamba yamepakana na mto ruvu, Kibali cha kutumia mto ruvu kipo.
Umbali kutokea mlandizi ni KM 83 mpaka shambani kabisa, Barabara ni nzuri mpaka shambani