F fazbt Member Joined Nov 27, 2018 Posts 9 Reaction score 6 Jul 28, 2020 #1 Habari wana JF Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=. Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam. Nipigie 0719 785 546 Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Habari wana JF Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=. Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam. Nipigie 0719 785 546 Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,048 Reaction score 15,465 Jul 28, 2020 #2 Toa taarifa vizuri boss Ni ya dukani au ya Kusuka vijiweni weka ampea zake pia sema kama single phase or 3phase kama unakapicha pia wekaaaaaaaa sasa umekaa tu kama unauza mkaa? hata aneuza mkaa atasema mti wake
Toa taarifa vizuri boss Ni ya dukani au ya Kusuka vijiweni weka ampea zake pia sema kama single phase or 3phase kama unakapicha pia wekaaaaaaaa sasa umekaa tu kama unauza mkaa? hata aneuza mkaa atasema mti wake
F fazbt Member Joined Nov 27, 2018 Posts 9 Reaction score 6 Jul 28, 2020 Thread starter #3 Ahsante Hazchem plate. Hii mashine ni ya kusuka, sio ya dukani. Pia ni ya single phase, sio three phase. Na ina njia tano ambazo ni E (Earth), 80A, 190A, 250A na 300A. Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
Ahsante Hazchem plate. Hii mashine ni ya kusuka, sio ya dukani. Pia ni ya single phase, sio three phase. Na ina njia tano ambazo ni E (Earth), 80A, 190A, 250A na 300A. Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
F fazbt Member Joined Nov 27, 2018 Posts 9 Reaction score 6 Sep 2, 2020 Thread starter #4 Ndugu zangu wana JF mashine hiyo bado ipo, inawezekana huu ndo muda wako wa kupata mashine nzuri, na kwa bei ya bahati.
Ndugu zangu wana JF mashine hiyo bado ipo, inawezekana huu ndo muda wako wa kupata mashine nzuri, na kwa bei ya bahati.
Fundi mahiri wa ujenzi JF-Expert Member Joined Dec 10, 2012 Posts 4,159 Reaction score 2,844 Sep 2, 2020 #5 Kwanini unaiuza? Mm natumia za mchina kwenye shughuli zangu. Nitakuchek lkn
F fazbt Member Joined Nov 27, 2018 Posts 9 Reaction score 6 Sep 6, 2020 Thread starter #6 pmoses95, niliinunua kipindi najifunza welding, lakini sikuendelea na mafunzo hayo. niliachia njiani. naiuza kwakua sina plani nayo yoyote kwa sasa!
pmoses95, niliinunua kipindi najifunza welding, lakini sikuendelea na mafunzo hayo. niliachia njiani. naiuza kwakua sina plani nayo yoyote kwa sasa!
SEASON 5 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 481 Reaction score 1,008 Nov 12, 2020 #7 pmoses95 said: Kwanini unaiuza? Mm natumia za mchina kwenye shughuli zangu. Nitakuchek lkn Click to expand... ubora wa hizo za kichina ukoje mkuu kulinganisha na hizi za kusukwa na wabongo?
pmoses95 said: Kwanini unaiuza? Mm natumia za mchina kwenye shughuli zangu. Nitakuchek lkn Click to expand... ubora wa hizo za kichina ukoje mkuu kulinganisha na hizi za kusukwa na wabongo?
SEASON 5 JF-Expert Member Joined Sep 28, 2020 Posts 481 Reaction score 1,008 Nov 12, 2020 #8 huwa zinakuaga na matatizo gani hizo mashine mkuu?
L Lugi Member Joined Oct 21, 2020 Posts 13 Reaction score 8 Nov 22, 2020 #9 Yes bro haipunguiii n huna vifaa vingine Kama grenda ivi