Utanipa mafunzo ya jinsi ya kutengeneza lambalamba?Pole mkuu
Mkopo kasafiriNikopeshe basi shogaangu [emoji134]
Nikununulie kwa makubaliano yenye masharti nafuu?Nikopeshe basi shogaangu [emoji134]
Mkopo kasafiri
Nikununulie kwa makubaliano yenye masharti nafuu?
Mimi ndio mhasibu wake...Huyu mama CM what Ile ananikopesha anakula faida mara mbili
Mkopo usio na ribaNikununulie kwa makubaliano yenye masharti nafuu?
Nitakuletea kituo kizima cha polisi kuja kudai
Rafiki yangu upo?Habari nauza mashine hiyo hapo.
Kwa ajili ya kutengeneza lambalamba ni ya kubeba na kuanza kazi inauwezo wa kubeba tray moja ya pieces 40 na mzigo unaganda baada ya dakika 15.
Uzuri wa hii mashine haichukui nafasi kubwaunaiweka sehemu yoyote.
Inapatikana DSM Pugu
Inauzwa sh 850,000.
Mawasiliano 0620593714
View attachment 2069568
View attachment 2069569
View attachment 2069570
View attachment 2069571
View attachment 2069572
View attachment 2069575