Wafariji wataabishaji mmeanzaTikiti limemwagika huku mtaani balaa.ujipange kwa bei ndogo
Unakaa wapi ndugu?Wafariji wataabishaji mmeanza
hata yakijaa vipi price zinajulikana mkuuTikiti limemwagika huku mtaani balaa.ujipange kwa bei ndogo
Haya kila la kherihata yakijaa vipi price zinajulikana mkuu
mkoa wa pwani kama unaenda rufijimkulanga ndio wapi!?
Ahsantemkoa wa pwani kama unaenada rufiji
Nadhani amemanisha Mkuranga, Pwani sio Mkulanga.mkulanga ndio wapi!?
Mkuu umeelewa lengo la swali langu..ila mwenyewe hakuelewa na wala hafahamu kama anakosea..karudia tena vile vile.Nadhani amemanisha Mkuranga, Pwani sio Mkulanga.