Hasa ume base kwenye burudani au vipindi serious?
vya aina zote, nina vya burudani, talk show za kipekee pamoja na serious programs. Vimejaa ubunifu kifupi ni vipya sio copy n pest.
Mkuu LF, (ELO EFU), Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya kwenye Biblia, "There is nothing new under the sun!".vya aina zote, nina vya burudani, talk show za kipekee pamoja na serious programs. Vimejaa ubunifu kifupi ni vipya sio copy n pest.
Mkuu Mtazamo, nipo, namalizia Nane Nane Dodoma, nafinalize studio, napanda hewani na "Kwa Maslahi ya Taifa"Pasco upo? bado hujanunua channel kwa wachina startimes?
Utakuwa umecopy Uarabuni wewe.
Mkuu LF, (ELO EFU), Kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya kwenye Biblia, "There is nothing new under the sun!".
Naamini unachofanya ni kuboresha tuu kilichopo, na uliweza kubuni baada ya kuona kilichotangulia, hivyo karibu sana.
Kwa ushauri tuu, kwa hapa bongo, hakuna TV yoyote au mtu yoyote atakayekulipa a single penny or cent kwa ubunifu wako, no one pays for idears no matter how creative they are!.
Cha kufanya ni kuchukua hizo idears zako, tengeneza a "demo program", that is the product that you can sell to TV Stations and production houses, that they can buy and make money!.
Pasco.
owkey ofcoz sio eti nayauza yakiwa kichwani nop bt nikishayatengenezea sample n ndo nafanya hvyo now.
Mkuu Mtazamo, nipo, namalizia Nane Nane Dodoma, nafinalize studio, napanda hewani na "Kwa Maslahi ya Taifa"
Pasco.