Kuku wa Kabanga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2009
- 807
- 368
Habarini za asubuhi,napenda kuwaarifu kuwa nauza mayai ya kware kwa bei ya 15k kwa tray LA mayai 30,km utahitaji niPM au nicheki kwa namba 0657666740.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habarini za asubuhi,napenda kuwaarifu kuwa nauza mayai ya kware kwa bei ya 15k kwa tray LA mayai 30,km utahitaji niPM au nicheki kwa namba 0657666740.
Unapatikana wapi mkuu?
kwa hiyo bei ya 15k hautapata mteja na hakuna atakayekupigia cm....na kama haujui maana ya 15k usiwe unakurupuka kuandika usichojua
kwani mkuu 15k si 15,000 au??,mbona pia ni fair sana kwa mayai ya kware,k stands for killo,000
Unajua maana ya 15k ni bei gani au unaandika tu.
Unajua maana ya 15k ni bei gani au unaandika tu.
Mimi niko Mbeya nitayapataje?