MaduhuJ

Member
Joined
Oct 7, 2024
Posts
64
Reaction score
83
Habari, nauza mbao za mti wa Eucalyptus, kwa majina ya kiswahili unajulikana kama Mlingoti, Mkaratusi, Mti Mbao, Mbao nyekundu. Mbao zina ubora, size zimejaa na bei ni rafiki (ya shambani). Mbao hizi ninachana mwenyewe maeneo ya Mgololo, Mufindi (Iringa) na Uchindile, Mlimba (Moro).

SIFA ZA MBAO
  1. Mbao zimekomaa - zinachanwa kwenye shamba lenye miti ya miaka 21.
  2. Size za mbao ni zimejaa vizuri.
  3. Mbao ni nyingi sana.

SIZE ZA MBAO (12 Ft) & BEI (Tsh)
  1. 1x8 - 5,000
  2. 2x6 - 4,000
  3. 2x4 - 3,000
  4. 2x3 - 2,000
  5. 2x2 - 1,000
  6. 1x4 - 1,000
NB: Hizi ni bei za shambani. Mteja itabidi afuate mzigo shambani. Akihitaji kuletewa alipo, tutazungumza kuhusu usafiri. Malipo yatafanyika mzigo unapopakiwa.

Mimi SIO dalali kwahiyo ninahitaji mteja ambaye yupo serious na commited. Kwa mtu mwenye mahitaji makubwa (i.e mradi), tunaweza kuingia mkataba wa kusupply kutokana na mahitaji yake. Pia ninaweza kuchana size mbalimbali kutokana na mahitaji ya mteja.

Mawasiliano yangu ni 0746311251 (ipo WhatsApp pia).


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…