Nauza mbolea ya kukù

Nauza mbolea ya kukù

rich marson

Member
Joined
Apr 14, 2017
Posts
11
Reaction score
7
Jamani Wana JM.na wakulima woote.

Mm kijana mwenzenu nauza mbolea ya kuku, IPO NYINGI sana Yani NYINGI sana.
1000032946.jpg

Ɓei yake ni 1000 lakini ukija na kiroba chako napunguza bei. Napatikana mbezi Luis (Makabe) karibuni sana...
 
I see!
Iko mbali mnoo...hamtumi mikoani kama biashara zingine?
 
Mkuu hongera sana. Lkn naomba nijue kama hutojar huna eneo la kwako binafisi? Hata kama la kukodi?

Bei unayouzia hiyo kama ungekuwa na ka eneo hata ka ni nusu heka tu kuhusu chakula Cha kuku ingekusaidia sana ungeokoa gharama zaidi ya 70%

Kwann Nasema Hivi

Ukila mfano Chinese na mchicha tu kuku utawachumia hayo majani daily na watakula mno na 30 iliyobaki unawapa chakula Chao kama kawaida ila muda mwingi wanakula hayo majani.

Pili unaweza badiri kiasi fln Cha mbolea ukaaza kuzalisha funza wenye protein nyingi na pendwa sana Kwa kuku
 
Mkuu hongera sana. Lkn naomba nijue kama hutojar huna eneo la kwako binafisi? Hata kama la kukodi?

Bei unayouzia hiyo kama ungekuwa na ka eneo hata ka ni nusu heka tu kuhusu chakula Cha kuku ingekusaidia sana ungeokoa gharama zaidi ya 70%

Kwann Nasema Hivi

Ukila mfano Chinese na mchicha tu kuku utawachumia hayo majani daily na watakula mno na 30 iliyobaki unawapa chakula Chao kama kawaida ila muda mwingi wanakula hayo majani.

Pili unaweza badiri kiasi fln Cha mbolea ukaaza kuzalisha funza wenye protein nyingi na pendwa sana Kwa kuku
Nimekuelewa sana sana kiongozi but mm nafuga broiler imekaaje hapa
 
Back
Top Bottom