rich marson
Member
- Apr 14, 2017
- 11
- 7
Hahahaha Kila kituu juu yako ntakuuzia tsh400Kama umetujazia udongo tutakunyoosha.
Haya,kiroba kimoja mbeya nakipataje?
Mm natuma lakini Kila kitu juu yako bei utakua fairI see!
Iko mbali mnoo...hamtumi mikoani kama biashara zingine?
Halafu iwe free delivery 😂😂😂🙌🙌Kama umetujazia udongo tutakunyoosha.
Haya,kiroba kimoja mbeya nakipataje?
🤣🤣🤣🤣 Unacheka ee?!Hahahaha Kila kituu juu yako ntakuuzia tsh400
🤣🤣🤣🤣🤭Halafu iwe free delivery 😂😂😂🙌🙌
Watu mna makusudi sana
Nimekuelewa sana sana kiongozi but mm nafuga broiler imekaaje hapaMkuu hongera sana. Lkn naomba nijue kama hutojar huna eneo la kwako binafisi? Hata kama la kukodi?
Bei unayouzia hiyo kama ungekuwa na ka eneo hata ka ni nusu heka tu kuhusu chakula Cha kuku ingekusaidia sana ungeokoa gharama zaidi ya 70%
Kwann Nasema Hivi
Ukila mfano Chinese na mchicha tu kuku utawachumia hayo majani daily na watakula mno na 30 iliyobaki unawapa chakula Chao kama kawaida ila muda mwingi wanakula hayo majani.
Pili unaweza badiri kiasi fln Cha mbolea ukaaza kuzalisha funza wenye protein nyingi na pendwa sana Kwa kuku
Nahitaji viroba 15 tafadhaliJamani Wana JM.na wakulima woote.
Mm kijana mwenzenu nauza mbolea ya kuku, IPO NYINGI sana Yani NYINGI sana.
View attachment 3108418
Ɓei yake ni 1000 lakini ukija na kiroba chako napunguza bei. Napatikana mbezi Luis (Makabe) karibuni sana...
Karibu bossNahitaji viroba 15 tafadhali