Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jieleze vizuri,Mimi ni binti nimemaliza chuo kutoka na hali ya maisha nimemaua kujiajiri nilifanya biashara ndogo ndogo hapo nyuma wakati nasoma nimekusanya mtaji kwasasa nasambaza mchele.
Mchele umekua graded kabisa. Ni mzuri, mpya na msafi sana. Nawaomba mnisaidie jamani mnunue.
Nakuletea popote ulipo. Nina uwezo wa kusupply hadi tani 1. Nisaidieni jamani. Mawasiliano ni 0766510504.
Nipo Dar es salaam Tabata
Bei 2550.
Mchele nilionao ni grade A
Bei ya jumla 2600.
Nakuletea ulipo.
Jaribu kuweka na picha ya huo mchele wako ili kuvutia wateja. Binafsi nimevutiwa sana na upambanaji wako.Mimi ni binti nimemaliza chuo kutoka na hali ya maisha nimemaua kujiajiri nilifanya biashara ndogo ndogo hapo nyuma wakati nasoma nimekusanya mtaji kwasasa nasambaza mchele.
Mchele umekua graded kabisa. Ni mzuri, mpya na msafi sana. Nawaomba mnisaidie jamani mnunue.
Nakuletea popote ulipo. Nina uwezo wa kusupply hadi tani 1. Nisaidieni jamani. Mawasiliano ni 0766510504.
Nipo Dar es salaam Tabata
Bei 2550.
Mchele nilionao ni grade A
Bei ya jumla 2600.
Nakuletea ulipo.
Kilo 15 Bado unaleta??Mimi ni binti nimemaliza chuo kutoka na hali ya maisha nimemaua kujiajiri nilifanya biashara ndogo ndogo hapo nyuma wakati nasoma nimekusanya mtaji kwasasa nasambaza mchele.
Mchele umekua graded kabisa. Ni mzuri, mpya na msafi sana. Nawaomba mnisaidie jamani mnunue.
Nakuletea popote ulipo. Nina uwezo wa kusupply hadi tani 1. Nisaidieni jamani. Mawasiliano ni 0766510504.
Nipo Dar es salaam Tabata
Bei 2550.
Mchele nilionao ni grade A
Bei ya jumla 2600.
Nakuletea ulipo.