Nipo Chanika, Dar Es Salaam.Uko wapi?
Ha! Ha! Haaaa! Mkuu unafanyia vitu vingi tu. Hizo meza mbili nilizo zibananisha unaweza weka wafanyakazi wako 6 kila mtu na computer yake na viti vyake.Ulitaka kufanyia shughuli gani ili ukiniuzia uniuzie na idea