INAUZWA Nauza Meza 3 za ofisini

Jitambuwe

Senior Member
Joined
Sep 25, 2011
Posts
174
Reaction score
139
Habari ndugu zangu.
Poleni na majukumu.

Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana.

Meza 2 nimezibananisha hapo ni za wafanyakazi zina droo zake hapo hapo.

Meza moja ni ya mapokezi.

Zote kwa ujumla ninauza Laki 5 (TSH 500,000)
Zipo Chanika, Dar Es Salaam

Mawasiliano
+255 742 031 321 (WhatsApp/SMS)

Karibuni.View attachment 2989333View attachment 2989334View attachment 2989337View attachment 2989335View attachment 2989336View attachment 2989338View attachment 2989339View attachment 2989340
 
Ulitaka kufanyia shughuli gani ili ukiniuzia uniuzie na idea
 
Ulitaka kufanyia shughuli gani ili ukiniuzia uniuzie na idea
Ha! Ha! Haaaa! Mkuu unafanyia vitu vingi tu. Hizo meza mbili nilizo zibananisha unaweza weka wafanyakazi wako 6 kila mtu na computer yake na viti vyake.

Katikati ya fremu yako ukakata chumba wajitegemee.

Meza hiyo ya 3 ni mapokezi wateja wako watasikilizwa hapo.

Nadhani hadi hapo umeshapata wazo lako la biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…