INAUZWA Nauza midoli ya kuuzia nguo za kike

INAUZWA Nauza midoli ya kuuzia nguo za kike

MUSHEKY

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2014
Posts
2,812
Reaction score
2,760
Mmoja ni wakusimama "full'' bei yake ni 45000/

Mingine 15 ni ya blauzi 3500

Ni used nlikua nafanyia biashara nimeacha

Bei hizi hutapata popote.

Location: Tabata kinyerezi

Call: 0783391278
 
Piza hizi hapa wadauView attachment 2323539
Screenshot_20220814-113644.jpg
 
Mkuu,
Hii dukani ni 50. Ukifika 30 tuongee
 
Mkuu hii ngoma na mie walinipiga 80. Nilivyozunguka juzi kati kariakoo nikakuta 50
Sikatai yawezekana ila hii midoli ina version kama tatu na kila aina ina bei yake

Hii hii ipo hadi ya laki mbili kwa laki na themanini

Hii ya kwangu ni saizi ya kati sijui wa kwako ni aina gani
 
Back
Top Bottom