Car4Sale Nauza Mitsubishi Canter Gari ya kazi

Car4Sale Nauza Mitsubishi Canter Gari ya kazi

predizen

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
206
Reaction score
214
Ipo Tegeta Dar es salaam, haina tatizo lolote. engine ipo safi na nimeifunga mwaka jana mwezi wa kwanza,.hapo ni kuwasha na kuondoka. bei ni 35 milioni hakuna dalali, ni mimi mwenyewe hivyo usiogope bei tutafikia muafaka mzuri tu.. namba yangu ni hii 0625 601 589 karibu sana.

IMG_-trmjcz.jpg
 
Back
Top Bottom