choupa moting
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 1,508
- 2,563
Wadau nauza mzani mdogo wa kupimia uzito wa kawaida kwa wanadam. Ni ule mzani ambao unakanyaga kupata kilo zako. Ni wa analog na sio digital.
Mzani huu nlikua nautumi kwenye project yangu flan na nmeutumia kwa almost two months na bado upo kwenye box lake.
Anayeuhitaj anaweza kuni-pm tufanye biashara.
Bei yake ni shilingi 80000/=
Karibuni, niko jijini DSM.
View attachment 1034287
Mzani huu nlikua nautumi kwenye project yangu flan na nmeutumia kwa almost two months na bado upo kwenye box lake.
Anayeuhitaj anaweza kuni-pm tufanye biashara.
Bei yake ni shilingi 80000/=
Karibuni, niko jijini DSM.
View attachment 1034287