makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Mabibi na mabwana, nina nazi nauza ndugu zangu, kwa oda zimebaki chache, aseme mtu alipo nitamletea,
Wahi kabla hazijaisha, ila hizi zikiisha naweza pia kukuchukulia kwenye mashamba ya jirani kwa oda maalum, mzigo upo njiani unakuja dsm kigamboni, unatokea mkuranga, hivyo watu wa maeneo haya njiani nitawashushia.
Nina washikaji wengi nilianza kutaja mmoja mmoja, wengine nitasahau, mtanisamehe nitakaowasahau(ndio ubinadamu huo)
Ila nyie wanangu, siwataji nikiwataja nitajaza uzi wote, muwanunulie mashemeji kama hamna hata mama zetu nyumbani
0659445718
Khantwe financial services @rebeca83 Evelyn Salt ledada reymage Shunie Maya Angelou Joanah Depal Sky Eclat Kelsea witnessj amu mawardat Kasie Nakadori Angel Nylon Heaven on Earth Heaven Sent
Wahi kabla hazijaisha, ila hizi zikiisha naweza pia kukuchukulia kwenye mashamba ya jirani kwa oda maalum, mzigo upo njiani unakuja dsm kigamboni, unatokea mkuranga, hivyo watu wa maeneo haya njiani nitawashushia.
Nina washikaji wengi nilianza kutaja mmoja mmoja, wengine nitasahau, mtanisamehe nitakaowasahau(ndio ubinadamu huo)
Ila nyie wanangu, siwataji nikiwataja nitajaza uzi wote, muwanunulie mashemeji kama hamna hata mama zetu nyumbani
0659445718
Khantwe financial services @rebeca83 Evelyn Salt ledada reymage Shunie Maya Angelou Joanah Depal Sky Eclat Kelsea witnessj amu mawardat Kasie Nakadori Angel Nylon Heaven on Earth Heaven Sent