Nauza Ng'ombe wa Maziwa

Nauza Ng'ombe wa Maziwa

nauza ng'ombe watatu was maziwa kila mmoja 2200000/= wanapatikana Moshi

Vzr sana, sasa malizia kwa kuweka taarifa zifuatazo;
1.aina ya ng'ombe
2.umri wao
3.wamezaa mara ngapi.
4.wanauwezo wa kutoa lita ngapi kwa siku
5.tupiamo na kapicha
Note: Bei peke yake sio kigezo cha mtu kununua bidhaa bali taarifa za hapo juu ni muhimu kuliko bei. ushawahi kujiuliza kwanini tunapita bar na pub nyingi tu zinazouza bia 2,300/= alaf tunaenda pale wanapouza kwa 3,000/=?
Hayo tu!
 
Vzr sana, sasa malizia kwa kuweka taarifa zifuatazo;
1.aina ya ng'ombe
2.umri wao
3.wamezaa mara ngapi.
4.wanauwezo wa kutoa lita ngapi kwa siku
5.tupiamo na kapicha
Note: Bei peke yake sio kigezo cha mtu kununua bidhaa bali taarifa za hapo juu ni muhimu kuliko bei. ushawahi kujiuliza kwanini tunapita bar na pub nyingi tu zinazouza bia 2,300/= alaf tunaenda pale wanapouza kwa 3,000/=?
Hayo tu!
 
wamebakia wawili na wote wanamiaka miwili, wamezaa Mara moja na moja anatoa Lita tano na mwingine saba
 
wamebakia wawili na wote wanamiaka miwili, wamezaa Mara moja na moja anatoa Lita tano na mwingine saba

Kama alivyosema jamaa hapo juu, maelezo ya kina juu ya bidhaa yako ni muhimu mno ili iuzike. Ningependa kujua hao ng'ombe (najua ni wa kisasa) ni breed (kabila) gani (ama weka picha nitajua), rekodi yao ya magonjwa na masuala kama ya chanjo na udhibiti wa kupe ni muhimu ukayatanabaisha
 
Back
Top Bottom