Car4Sale Nauza nissan note kwa bei ya kizalendo nimekwama

Car4Sale Nauza nissan note kwa bei ya kizalendo nimekwama

Manwambele

Senior Member
Joined
Jan 4, 2016
Posts
110
Reaction score
172
Wakuu habari za asubuhi, poleni na uchovu wa jana wa Simba day na pia siku ya mapumziko sikukuu ya Nanenane kwa wafanyakazi na wasio wapenzi wa kandanda.
Nimekuja tena kwenu nina shida nauza gari yangu chasses namba bado mpya kwa Tanzania ni used from japan, Nauza kwa bei ya kizalendo sana member aliye tayari tunaweza fanya biashara yawezekana isiwe wewe basi hata jirani, rafiki , mke , mume au hata workmate baada ya kuona tangazo nae ukamjulisha asiikose.

Make: Nissan Note
Yeae: 2006
Odo : 95500
Engine: MR 15
Size: 1498
Gear: CVT
Seat : 5
Door: 5

Bei ni 9m ikiwa pamoja na usajili juu yangu kwa jina la mnunuzi ila kwa 8.7 utasajili mwenyewe ikiwa kama unasubiri namba E utataka kutembelea chasses .
Mawasiliano 0677 210276
0763 950219
Zote zipo whatsap unaweza nichek kwa picha zaidi.

Ntaambatanisha na bei ya japan pamoja na ushuru hapo chini kwenye picha za gari ili niondoe utata kwa wajuaji na wakorofi kwa biashara nawe pia unaweza kuingia kwenye website hizo ukajiridhisha kwamba gari nakuuzia kwa bei nzuri mnoooo.
Tena hapo sijaweka port charges, agent fees , t b s na vingine. KARIBUNI WAUNGWANA KWA HESHIMA NA TAADHIMA .
Maswali mengine naweza jibu hapa mengine nchek whatsap au normal call tuchangamkie fursa kwa wenye uhitaji.
Note: Gari ipo Dar muda wowote unaweza kuiona.
IMG-20220808-WA0055.jpg
IMG-20220808-WA0060.jpg
IMG-20220808-WA0052.jpg
IMG-20220808-WA0058.jpg
Screenshot_20220809-075801_Chrome.jpg
Screenshot_20220809-080015_Chrome.jpg
Screenshot_20220809-080214_Chrome.jpg
 
Wakuu habari za asubuhi, poleni na uchovu wa jana wa Simba day na pia siku ya mapumziko sikukuu ya Nanenane kwa wafanyakazi na wasio wapenzi wa kandanda.
Nimekuja tena kwenu nina shida nauza gari yangu chasses namba bado mpya kwa Tanzania ni used from japan, Nauza kwa bei ya kizalendo sana member aliye tayari tunaweza fanya biashara yawezekana isiwe wewe basi hata jirani, rafiki , mke , mume au hata workmate baada ya kuona tangazo nae ukamjulisha asiikose.

Make: Nissan Note
Yeae: 2006
Odo : 95500
Engine: MR 15
Size: 1498
Gear: CVT
Seat : 5
Door: 5

Bei ni 9m ikiwa pamoja na usajili juu yangu kwa jina la mnunuzi ila kwa 8.7 utasajili mwenyewe ikiwa kama unasubiri namba E utataka kutembelea chasses .
Mawasiliano 0677 210276
0763 950219
Zote zipo whatsap unaweza nichek kwa picha zaidi.

Ntaambatanisha na bei ya japan pamoja na ushuru hapo chini kwenye picha za gari ili niondoe utata kwa wajuaji na wakorofi kwa biashara nawe pia unaweza kuingia kwenye website hizo ukajiridhisha kwamba gari nakuuzia kwa bei nzuri mnoooo.
Tena hapo sijaweka port charges, agent fees , t b s na vingine. KARIBUNI WAUNGWANA KWA HESHIMA NA TAADHIMA .
Maswali mengine naweza jibu hapa mengine nchek whatsap au normal call tuchangamkie fursa kwa wenye uhitaji.
Note: Gari ipo Dar muda wowote unaweza kuiona.View attachment 2318731View attachment 2318732View attachment 2318733View attachment 2318734View attachment 2318735View attachment 2318736View attachment 2318737
JF kunavimbwanga. Eti bei ya kizalendo.
 
Tatizo Nissan na brand nyingine nje ya Toyota zinatesa sana kwa Bongo, japo gari inapokuwa mpya kama yako inakuwa haina shida.
 
Wakuu habari za asubuhi, poleni na uchovu wa jana wa Simba day na pia siku ya mapumziko sikukuu ya Nanenane kwa wafanyakazi na wasio wapenzi wa kandanda.
Nimekuja tena kwenu nina shida nauza gari yangu chasses namba bado mpya kwa Tanzania ni used from japan, Nauza kwa bei ya kizalendo sana member aliye tayari tunaweza fanya biashara yawezekana isiwe wewe basi hata jirani, rafiki , mke , mume au hata workmate baada ya kuona tangazo nae ukamjulisha asiikose.

Make: Nissan Note
Yeae: 2006
Odo : 95500
Engine: MR 15
Size: 1498
Gear: CVT
Seat : 5
Door: 5

Bei ni 9m ikiwa pamoja na usajili juu yangu kwa jina la mnunuzi ila kwa 8.7 utasajili mwenyewe ikiwa kama unasubiri namba E utataka kutembelea chasses .
Mawasiliano 0677 210276
0763 950219
Zote zipo whatsap unaweza nichek kwa picha zaidi.

Ntaambatanisha na bei ya japan pamoja na ushuru hapo chini kwenye picha za gari ili niondoe utata kwa wajuaji na wakorofi kwa biashara nawe pia unaweza kuingia kwenye website hizo ukajiridhisha kwamba gari nakuuzia kwa bei nzuri mnoooo.
Tena hapo sijaweka port charges, agent fees , t b s na vingine. KARIBUNI WAUNGWANA KWA HESHIMA NA TAADHIMA .
Maswali mengine naweza jibu hapa mengine nchek whatsap au normal call tuchangamkie fursa kwa wenye uhitaji.
Note: Gari ipo Dar muda wowote unaweza kuiona.View attachment 2318731View attachment 2318732View attachment 2318733View attachment 2318734View attachment 2318735View attachment 2318736View attachment 2318737
Da ingekuwa mwez November Ningechukua napemda sana nissan na mazda
 
Nissan Note in Good Condition
Vibali vyote vipo.
Ina Premium Insurance mpaka 2023
Namba DCQ
Bei 5m. Maelewano yapo.
Serious buyer nicheki PM
IMG_20220823_122144.jpg
 
Back
Top Bottom