akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 787
- 526
Engine yake ilipata matatizo so kimsingi haina engine.
Inaweza kufaa kwa:-
1. Kutumia vitu vyake kama spare parts kwa aliye na aina ya gari kama hii
2. Kam unayo aina kama hii na body au baadhi ya vifaa vyake vimechoka basi unaitumia vifaa vya hii kufufua hiyo mbovu.
3. Kuuza spare zake
4. Kama una engine nzima basi waweza kuifufua hii maana haina tatzio zaidi ya engine tu.
FYI: Iliharibika wakati ndo nimetoka kukarabati body lake, bush, shocks, tairi vyote vizima.
Ipo Kigamboni, Gezailole - 0784800989
Inaweza kufaa kwa:-
1. Kutumia vitu vyake kama spare parts kwa aliye na aina ya gari kama hii
2. Kam unayo aina kama hii na body au baadhi ya vifaa vyake vimechoka basi unaitumia vifaa vya hii kufufua hiyo mbovu.
3. Kuuza spare zake
4. Kama una engine nzima basi waweza kuifufua hii maana haina tatzio zaidi ya engine tu.
FYI: Iliharibika wakati ndo nimetoka kukarabati body lake, bush, shocks, tairi vyote vizima.
Ipo Kigamboni, Gezailole - 0784800989