Dalali wa mjini
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 326
- 464
MKuu hiyo sehemu ya kulala haina hadhi ya hiyo thamani ya pesa aise...hiyo 85mil ni thamani ya sehemu ya makazi.Habari maboss wangu.
Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala View attachment 3239896 Kibulugwa.
Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi.
Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss.
Lakini ukiamua wewe mwenyewe ukarabati ule Hela ya wapangaji Ni wewe boss.Maana boss hapangiwi maamuzi lakini anashauriwa Tu.
Fungua video kwa kuangalia ukubwa wa nyumba na mazingira ya mtaa.
Sqm 516
Hati serikali ya mtaa
Bei milion 85 Cash.
📞0754693556
Iko upande ule wa karibu na Kiburugwa Inn ama ng'ambo ya pili upande ule wa Kiburugwa Dispensary kwa yule marehemu mzee na shabiki wa Simba ?!!Habari maboss wangu.
Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala View attachment 3239896 Kibulugwa.
Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi.
Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss.
Lakini ukiamua wewe mwenyewe ukarabati ule Hela ya wapangaji Ni wewe boss.Maana boss hapangiwi maamuzi lakini anashauriwa Tu.
Fungua video kwa kuangalia ukubwa wa nyumba na mazingira ya mtaa.
Sqm 516
Hati serikali ya mtaa
Bei milion 85 Cash.
📞0754693556
Mkuu sidhani mtu mwenye maono ya Mbali anaweza kuacha Hilo eneo Kwa pesa hiyo.MKuu hiyo sehemu ya kulala haina hadhi ya hiyo thamani ya pesa aise...hiyo 85mil ni thamani ya sehemu ya makazi.
Unataka nikupeleke mkuu?Iko upande ule wa karibu na Kiburugwa Inn ama ng'ambo ya pili upande ule wa Kiburugwa Dispensary kwa yule marehemu mzee na shabiki wa Simba ?!!
HeheheHabari maboss wangu.
Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala kibulugwa.
Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi.
Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss.
Lakini ukiamua wewe mwenyewe ukarabati ule Hela ya wapangaji Ni wewe boss.Maana boss hapangiwi maamuzi lakini anashauriwa Tu.
Fungua video kwa kuangalia ukubwa wa nyumba na mazingira ya mtaa.
Sqm 516
Hati serikali ya mtaa
Bei milion 85 Cash.
📞 0754693556
Majini hayakai Kwa matajiriHyo nyumba lazima itakuwa na Majini😂😂mbona bei Chee hivyo Sasa hicho kisehem kukiwa wazi ungepatoa kwa Shngap?
Mambo vipi mkuuHehehe
Mambo yangu si mazuri sana si mabaya sana vipi weweMambo vipi mkuu
Tunasema hakuchwi kunakucha mkuuMambo yangu si mazuri sana si mabaya sana vipi wewe
OkTunasema hakuchwi kunakucha mkuu
HeheheHata 120 unampata mtu ni eneo lakutosha
ndioooHehehe
Hehehehehehehehehehehehehehehehendiooo
Mkuu mwenyewe anauza hivyo ili alitoe Kwa haraka afanye mambo Yake.Hata 120 unampata mtu ni eneo lakutosha
Babe tujichange tununue tukaishi hapo.Hata 120 unampata mtu ni eneo lakutosha