Baba ummu
Member
- Jul 31, 2022
- 33
- 26
Habari Wana jf
husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja ambao gari ndogo hata tatu zinaingia, ina umeme, pia kuna kisima cha maji ya baridi ndani ya fensi.
Nipigie:0620 240 161,wasup
NB: Mimi ndo mwenyewe sio dalali
husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja ambao gari ndogo hata tatu zinaingia, ina umeme, pia kuna kisima cha maji ya baridi ndani ya fensi.
Nipigie:0620 240 161,wasup
NB: Mimi ndo mwenyewe sio dalali