House4Sale Nauza nyumba yangu Chanika

House4Sale Nauza nyumba yangu Chanika

Baba ummu

Member
Joined
Jul 31, 2022
Posts
33
Reaction score
26
Habari Wana jf

husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja ambao gari ndogo hata tatu zinaingia, ina umeme, pia kuna kisima cha maji ya baridi ndani ya fensi.

Nipigie:0620 240 161,wasup
NB: Mimi ndo mwenyewe sio dalali


Screenshot_20221019-183607.jpg
 
Habari Wana jf

husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja ambao gari ndogo hata tatu zinaingia, ina umeme, pia kuna kisima cha maji ya baridi ndani ya fensi.

Nipigie:0620 240 161,wasup
NB: Mimi ndo mwenyewe sio dalaliView attachment 2392538View attachment 2392539View attachment 2392540View attachment 2392541View attachment 2392542View attachment 2392543View attachment 2392544View attachment 2392545View attachment 2392546
Sema unauza Banda/shelter lako chanika au uwanja mkuu.
 
Tatizo Chanika kuna ushirikina kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom