Habari Wana jf
husika na kichwa cha habari juu, nauza nyumba chanika, njiapanda ya nyeburu upande wa mkono wa kulia ukitokea ngongolamboto, ipo jirani na shule ya DOCTOR ELIMU, ina vyumba viwili vya kulala kimoja wapo ni master, sehemu ya chakula na sebule ya kutosha, ina fensi upande mmoja ambao gari ndogo hata tatu zinaingia, ina umeme, pia kuna kisima cha maji ya baridi ndani ya fensi.
Nipigie:0620 240 161,wasup
NB: Mimi ndo mwenyewe sio dalali
View attachment 2392538View attachment 2392539View attachment 2392540View attachment 2392541View attachment 2392542View attachment 2392543View attachment 2392544View attachment 2392545View attachment 2392546