kawombe
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 14,239
- 15,876
Nilinunua piki piki kwajili ya matumizi binafsi kwenye shuguli zangu za kila siku.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na hakuna dalali.iko kwenye hari nzuri sana
Bei laki 9 cash
Karibuni hii piki piki iko DAR ES SALAAM.
Tuwasiliane kupitia PM kwa mwenye kuhitaji.
Asanteni
[emoji120]
...............................UPDATE................................
Napenda kuchukua nafasi hii kushukuru kwa JF kuniunganisha na mteja wa piki piki hii.
Asante mteja wangu kwa uaminifu wako kwng na mali yangu. Kama tulivyo ongea kwa lolote lile linalo husu biznes hii usisite kuwasiliana na mimi.
Asante JamiiForums
Asante mteja.
Kwa sasa nimepata usafri mwingine kwajili ya shuguli zangu.
Na mimi ndio mwenyewe piki piki hii na hakuna dalali.iko kwenye hari nzuri sana
Bei laki 9 cash
Karibuni hii piki piki iko DAR ES SALAAM.
Tuwasiliane kupitia PM kwa mwenye kuhitaji.
Asanteni
[emoji120]
...............................UPDATE................................
Napenda kuchukua nafasi hii kushukuru kwa JF kuniunganisha na mteja wa piki piki hii.
Asante mteja wangu kwa uaminifu wako kwng na mali yangu. Kama tulivyo ongea kwa lolote lile linalo husu biznes hii usisite kuwasiliana na mimi.
Asante JamiiForums
Asante mteja.