Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ina mwakaIna muda gan
mkuu hiyo bei hailipiKula 500,000
hiyo ndio picha ya muonekano wake wa sasaTuma picha ya muonekano wake kwa sasa ,
Mkuu ina mwaka, upatikanaji wake wa vifaa kuna maduka ya skymark ambayo yanauza vifaa vyake. Kwa dar kuna duka lipo kariakoo na mnazi mmoja ndio makao makuu yao. Lakini pia mikoani kuna branch zao.Ina matatizo gani?
Ina muda gani tangu uinunue?
Vipi kuhusu upatikanaji wa spare zake?
Nikiridhika na majibu kula 600,000 cash.
Hujajibu suala la uzima wake mkuu. Nataka nijue nikinunua nafanya service ya gharama gani.Mkuu ina mwaka, upatikanaji wake wa vifaa kuna maduka ya skymark ambayo yanauza vifaa vyake. Kwa dar kuna duka lipo kariakoo na mnazi mmoja ndio makao makuu yao. Lakini pia mikoani kuna branch zao.
Njoo uione tufanye biashara
Mkuu hiyo pikipiki haina tatizo lolote zaidi kubadilisha oil tu. Nilikuwa naitumia mwenyewe kwa hiyo nilikuwa naifanyia service mara kwa mara.Hujajibu suala la uzima wake mkuu. Nataka nijue nikinunua nafanya service ya gharama gani.