dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Ushauri!Sold
Asanteni
Na mimi nimeshangaaUnamasihara wewe 1M+ kwa pikipiki hiyo?
Element ndio niniKadi original ya pikipiki na element..
Tukalipane kwa mwenyekiti ama hata polisi ni sawa
Ukatoe sasa fungu la 10 kwa Mwamposa. Maana ni muujiza huu, kuuza hii pikipiki yako kwa milioni 1.2!Sold
Asanteni
Umasikini ni kitu kibaya sana. Ndiyo maana kwa upande wangu niliuchukia tangu enzi za utoto.Punguza kuchongoa mdomo,
Unajua hata bei ya pikipiki?
Jifunze kubalance shobo,Umasikini ni kitu kibaya sana. Ndiyo maana kwa upande wangu niliuchukia tangu enzi za utoto.
Tayari kuna mtu amekuwahiGhairi
Masikini akipata....!!!Jifunze kubalance shobo,
Mind your business, tusingefika huku..
Haikuhusu pita kimya, inaemfa atanunua..
Sio kubeza biashara ya mtu.sio tabia njema period.