hahahaHiyo na baiskeli phoenix ipi inakimbia zaidi
Badili namba utapata mteja chapchapKama huelewi Aina hii ya pkpk(Honda) bora tu upite kimya
Inategemea na aina ya phoenix. Kama ni ile phoenix bomba mbili inakimbia zaidi.Hiyo na baiskeli phoenix ipi inakimbia zaidi
Weee jaribu kwenda tiaraei uone na hicho kibaoNamba haina kikwazo hata kidogo kwakuwa Zenji na bara ni walewale