INAUZWA Nauza Play Station 2 zikiwa Chipped

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Habari, kwa wale wapenzi wa games ninazo play stations 2 pieces 2 zikiwa chipped kwa maana ya kuwa hutahitaji kutumia cd Ila utapata flash yenye games 10 zikiwemo FIFA nk.

Ukitaka kutumia cd hiyo itakuwa kwa mapenzi yako tu. Bei ni Tzs 150,000 kwa moja. Kwa watakaopenda naomba wani pm tuone namna ya kufanya biashara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…