Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 549
Rim 5Katoni moja inakaa rim ngapi kwa tusiofahamu mkuu.
Hakuna ya bei hiyo sasaRim asaiv hadi 45,000 we iyo ya 55 ni ipi?
We umeweka cha juu hapo bei ni 50Habari za jioni nipo Dar es salaam nauza Rim paper size ya A4 gm 80 kwa bei ya sh.55,000 kwa kila carton mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu kwa maelezo zaidi nicheki 0789386320.Karibuni.
Nop inategemea na zipo aina tofauti lakini
Acha ubishi. Bei ya rim maeneo mengi kwa sasa inacheza kati ya 45-55.Hakuna ya bei hiyo sasa
Mkuu naomba chimbo la hio 45 kama hutojali..Acha ubishi. Bei ya rim maeneo mengi kwa sasa inacheza kati ya 45-55.
Mkuu naomba chimbo la hio 45,000 kama hutojali...Rim asaiv hadi 45,000 we iyo ya 55 ni ipi?
Rim zimeshuka bei hiyo bei hutauzaHabari za jioni nipo Dar es salaam nauza Rim paper size ya A4 gm 80 kwa bei ya sh.55,000 kwa kila carton mikoani natuma bila tatizo na kwa uaminifu kwa maelezo zaidi nicheki 0789386320.Karibuni.
Umepata? Inbox kwa 48k nikupe ream za kutosha. DSM & MBEYA.Mkuu naomba chimbo la hio 45,000 kama hutojali...