Nauza saluni nzima ya unisex million 2.5 tu!

Nauza saluni nzima ya unisex million 2.5 tu!

Phoenix

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2012
Posts
10,585
Reaction score
15,468
Habari!
Nauza saloni nzima ya unusex kwa shillingi 2.5 Million za kitanzania pekee!
Haijawahi kutokea!
8d2e6e75d46059459a824f4714732d48.jpg

83734233e8d134c93b9ad1885410103d.jpg

fba97d8165b0573bb9c43237966ccfdf.jpg
eee2e8907e1e7946b024a38cd5180ab5.jpg
51b07a73735204476bb92e33841ddc6c.jpg
811b8b804611537aa4bfca972a3f8676.jpg
88047d44a2db38ddffb1017d95b4e64f.jpg
81a56a1544e0d5f80f91d01f400ce3dc.jpg


Eneo Yombo Buza.
Kila kitu kinauzwa kasoro watu
Karibu PM
 
Sababu za kuacha biashara na kuamua kuiuza nini hasa, lazima kuna makinikia yaliyojificha.
 
orodhesha vitu vilivyopo vyotee kama vile kuna viti vingap mashine ngap dry ngap vioo vingap nadhan umenielewa
 
Hiyo saloon inaitwaje? Nikitaka nije kuiona?
 
orodhesha vitu vilivyopo vyotee kama vile kuna viti vingap mashine ngap dry ngap vioo vingap nadhan umenielewa

Location :Buza
Kodi ya mwezi:70000 ipo barabarani kabisa,imeisha leo kodi.
Luku: watu 2
Drier: zipo 2 za
Steamer 1
Viti 3
Chanzo cha maji: yalikuwa ya bomba yamekatwa jana(dawasco)
Drier ya mkono 1
Pasi ya nywele 1
Washing basin
Back up generator:No
Vioo vikubwa 2 vya ukutani 1
Vikabati vyenye draws
Treys na rollers
Ruksa kuja kuviona
Kama upo intetested check me

Bonus mafuta,spray,na vibanio pamoja na rollers
 
Back
Top Bottom