Nikitaka na watu inakuwa bei gan?Habari!
Nauza saloni nzima ya unusex kwa shillingi 2.5 Million za kitanzania pekee!
Haijawahi kutokea!
Eneo Yombo Buza.
Kila kitu kinauzwa kasoro watu
Karibu PM
Ukitaka na watu mpaka uende LibyaNikitaka na watu inakuwa bei gan?
orodhesha vitu vilivyopo vyotee kama vile kuna viti vingap mashine ngap dry ngap vioo vingap nadhan umenielewa