Hio haiendi boss.
400k mwiUmekaa
Hapana hio bei ipo chini zaidi ya nusu, Angalia hapo.Umekaaa nayo mda mbona kama unauza Bei ya dukan bos
Kweli Iko juu naona used wanauza laki 5 aiseeOkyyy fanya hivyo.
Acha kuharibu biashara za watu wee mtuDah uko juu sana Haina shida?
Vipi 150,000/- huchukui?
Naomba namba Pm nifanye udalali.Yaps, nauza sababu nataka simu nyingne...
Hii simu Camera na battery ndio sifa zake za kwanza...
Sitaki kutaja Speed, display n.k, n.k.
Naiamini, ukiikuta na shida yoyote au Hata mikwaruzo unarudi na hela yako
Top 400k.
SiKujua Bei ila baada ya kuona Bei nikahakikushaAcha kuharibu biashara za watu wee mtu