Dith
Member
- Sep 30, 2020
- 57
- 15
Shamba hili lipo maeneo ya mkuranga kikungo sehemu panaitwa kibululu karibu na Kibululu Primary School (Kikungo ni kituo cha mbele baada ya Kiparang'anda).
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.
Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.
Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja.
Bei ni shilingi 17M (Milioni 17).
Kwa mawasiliano namba ni 0769917961 au 0712030252
Angalia picha za shamba hapa.
Lina heka 4 zinapelea kidogo.
Kuna miembe, michungwa, migomba midogo, miti ya nazi, korosho, limao, stafeli, mipapai midogo, n.k.
Shamba lina kisima ndani yake kisicho na tanki na mota, shamba safi halina vichaka.
Kilometer 3.5 kutoka barabara ya lami.
Kutoka mbagala mpaka kikungo ni shilingi 1400 kwa usafiri wa daladala, kutoka hapo kikungo stand mpaka shambani kwa bodaboda ni shilingi elfu moja.
Bei ni shilingi 17M (Milioni 17).
Kwa mawasiliano namba ni 0769917961 au 0712030252
Angalia picha za shamba hapa.